|
- Pre GE2025 - Harmonize asema atagombea Ubunge Jimbo la . . . - JamiiForums
Mwimbaji Staa wa Bongo Fleva Rajabu Adbul Kahali maarufu Harmonize ametangaza rasmi dhamira yake ya kwenda kugombea Ubunge wa Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara ambako ndio alikozaliwa Itakumbukwa October 15,2019, Harmonize ambaye kwa sasa ana-hit na wimbo mpya wa 'best couple', alitajwa na
- Kuanzia kwa Harmonize, Ibraah, the Hanstone na wengineo. Hizi battle za . . .
Kuanzia kwa Harmonize, Ibraah, the Hanstone na wengineo Hizi battle za wasanii na lebo zao pindi wanapotaka kujiondoa, changamoto huwa ni nini?
- Harmonize kaingia kusiko! - JamiiForums
JE ALICHOKIFANYA HARMONIZE NI SAHIHI? Msanii Harmonize Kupitia Kionjo cha Wimbo wake Mpya Dunia Ameimba kuwa Anaamini Mungu yupo na Anajua hata akitaka kumchukua Sasa Hivi anamchukua Lakini Anataka Kujua Kwanini Mungu aliweka kila Vitu Vizuri Viwe Ni vya Kishetani Kondeboy Ametolea Mfano
- Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na . . . - JamiiForums
Kumbe sasa, kiuhalisia, mkataba wa Harmonize na WCB, kwenye fikra za Harmonize, ulivunjika tangu mwaka 2016 Tafsiri nzuri ya mkataba wa duress ni ule ambao anayesaini, muda mrefu unaofuata akiambiwa asaini upya, lazima akatae Ni kama Harmonize, akili yake ya sasa inamwambia alikosea kusaini Dhambi ya mkataba Mkataba ni makubaliano ya kisheria
- harmonize - JamiiForums
IBRA: harmonize amewekeza mil 6 pekee tu kwangu Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo
- Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani . . .
Amemshukuru Msanii Harmonize kwa kumualika kwenye hafla hii aliyoiita 'Usiku wa kuutukuza muziki wa Mama' Rais Samia ameoneshwa kufurahishwa na ukuaji wa Harmonize kwani alivyo sasa ni tofauti na alivyokuwa miaka 8 nyuma Amesema mapito ya kimahusiano aliyopitia Harmonize huwapata vijana wengi, na ametaja baadhi kama Ray Vanny, Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz Amewapongeza wanawake wote
- Harmonize apata mdogo wake au mpenzi? Abby Chams anasemaje?
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi? Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby mara kwa mara, mashabiki wameanza kuhisi kama "kapata chombo cha kwenda" Wapo wanaosema ni upendo
- Diamond asafirisha magari yake ya kifahari Rolls-Royce, Escalade . . .
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa Tuzo za Trace, zinazofanyika leo, Februari 26 Harmonize adata na showbiz kutoka kwa Kaka yake na
|
|
|